• Health/Afya

    Maelezo juu ya Afya yatakaa hapa

  • Fruits/Matunda

    Maelezo juu yaMatunda yatakaa hapa

  • Exercise/Mazoezi

    Maelezo juu ya Mazoezi yatakaa hapa

  • Mlo Kamili/ Balanced Diet

    Maelezo juu ya Mlo kamili

Je wajua Kuhusiana na Tunda Liitwalo PAPAI? Ni tunda la Aina gani na lina vitamin na virutubisho vya aina gani, na vinafaida gani katika miili yetu kwa ujumla wake..? Usiwe na shaka twende Pamoja kujifunza zaidi...

Je, Papai ni nini? Papai ni tunda la mpapai ("Carica papaya"), mti wa familia Caricaceae. Ni mti mrefu wenye shina la urefu wa mita 5 mpaka 10, wenye majani yaliojipanga yaliojizungusha na kujishikiza juu kwenye shina la miti, shina kwa upande wa chini huwa na makovu mengi kuonesha sehemu ambayo...

Je Wajua, UBUYU una Vitu Gani ambavyo ni Faida kubwa katika Mwili wako...? Twende Pamoja....

======================================== *******Tupate Elimu Chache Kuhusu Ubuyu******* ======================================== Ubuyu ni tunda ambalo hupatikana katika miti jamii ya adansonia. Ubuyu umekua na matumizi mbalimbali wengi tukiutumia kama matunda. Wengine hutumia juisi yake kutengenezea...

Je Wafahamu Lolote Kuhusu Tunda Tango au Matango...?

================================================ Leo Tupate Kufahamu Faida Kumi za Tango katika Miili Yetu ================================================ Leo katika makala za kajamii tujifunze nakuzitambua faida za Tango katika miili yetu, ikiwa watu wengi tunakula bila kujua faida zake katika maisha...