Watu wengi hudhani kama mwanamke hapati ujauzito basi tatizo na
lawama zote zitakuwa ni upande wa mwanamke, lakini hilo si lazima mara
zote liwe hivyo. Kuna uwezekano mkubwa kuwa tatizo la kutopata mtoto
katika familia likawa linatokana na ugumba upande wa mwanaume. Kwa
tafiti zilizofanywa...
-
Health/Afya
Maelezo juu ya Afya yatakaa hapa
-
Fruits/Matunda
Maelezo juu yaMatunda yatakaa hapa
-
Exercise/Mazoezi
Maelezo juu ya Mazoezi yatakaa hapa
-
Mlo Kamili/ Balanced Diet
Maelezo juu ya Mlo kamili
Je Wajua Vyanzo halisi vinavyo pelekea Mtu kuwa na Tumbo Kubwa Mfano wa Mama Mjamzito..?
By Shasmoe Soft Technology at 11:29 AM
3 comments

Je Ni kitambi ama ni Nini..?
Wanawake wengi miaka ya karibuni wanakabiliwa na tatizo linalofanana na
kitambi kwa upande wa wanaume. Hivyo ingekuwa ni wanaume tungesema ni
kitambi ambalo nalo ni tatizo kubwa miongoni mwa wanaume wengi nyakati
za sasa.
Kinachowasumbuwa wanawake siyo kitambi tunasema...
Je wajua Tende(Dates) ina Faida Gani Mwilini Mwako...? Haswa unapotumia Mara Kwa Mara...?
By Shasmoe Soft Technology at 8:48 AM
2 comments

TENDE NI NINI..?
Ni tunda ambalo asili yake ni kutoka uarabuni asili ya uotaji wake ni katika Mazingira ya ukame yaani Jangwa. Tunda hili ni maarufu sana hususan kwa jamii ya kiislam, kutokana na utumikaji wa hali ya juu haswa katika kipindi cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Katika mwezi...
Je Ninapaswa Kula Machungwa Mangapi kwa siku? Chungwa Lina Faida gani Mwilini?
By Shasmoe Soft Technology at 10:36 PM
No comments

Chungwa ni tunda la mchungwa.
Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni
Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck.
Ni jamii ya matunda aina ya citrus. Jamii hii ya matunda inajumuisha machungwa, machenza, tangarine,
klementine n.k.
Tunda...
Je wajua Kuhusiana na Tunda Liitwalo PAPAI? Ni tunda la Aina gani na lina vitamin na virutubisho vya aina gani, na vinafaida gani katika miili yetu kwa ujumla wake..? Usiwe na shaka twende Pamoja kujifunza zaidi...
By Shasmoe Soft Technology at 6:07 PM
No comments

Je, Papai ni nini?
Papai ni tunda la mpapai ("Carica papaya"), mti wa familia Caricaceae. Ni mti mrefu wenye shina la urefu wa mita 5 mpaka 10, wenye majani
yaliojipanga yaliojizungusha na kujishikiza juu kwenye shina la miti,
shina kwa upande wa chini huwa na makovu mengi kuonesha sehemu ambayo...