
TENDE NI NINI..?
Ni tunda ambalo asili yake ni kutoka uarabuni asili ya uotaji wake ni katika Mazingira ya ukame yaani Jangwa. Tunda hili ni maarufu sana hususan kwa jamii ya kiislam, kutokana na utumikaji wa hali ya juu haswa katika kipindi cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Katika mwezi...